Ilikuwa vurugumechi kwa vijana ambao walikuwa wamechangishana
vijisenti na kukodi muziki uliopigwa barabarani live kuanzia saa 6:00
usiku mpaka majogoo Mbagala, Kwakisauti Jijini Dar Tarehe 1/1/2015.
Staring hiyo ilishikiliwa na wanawake kwa kuongoza umati wa watu hao huku wakiwa wame puliza moto juu kwa kuupokea na kuukaribisha mwaka 2015. Hivyo ndivyo ilivyo kuwa, ingawa fujo kidogo zilijitokeza katika eneo hilo kiasi cha watu kupoteza simu zao, ila Mungu mkubwa hawakuwa Panya road walikuwa ni wao kwa wao.
Staring hiyo ilishikiliwa na wanawake kwa kuongoza umati wa watu hao huku wakiwa wame puliza moto juu kwa kuupokea na kuukaribisha mwaka 2015. Hivyo ndivyo ilivyo kuwa, ingawa fujo kidogo zilijitokeza katika eneo hilo kiasi cha watu kupoteza simu zao, ila Mungu mkubwa hawakuwa Panya road walikuwa ni wao kwa wao.
0 comments :
Post a Comment