Malkia wa Bongo fleva Lady Jaydee aka Comando, Anaconda ametangaza rasmi
kuufunga mgahawa wake wa MOG & Restaurant zamani ukijulikana kama
Nyumbani Lounge. Jay Dee amepost maneno hayo kwenye mtandao wake wa
Instagram kuwa ataufunga mgahawa huo mwishoni mwa mwezi May ila baada ya
miezi mitatu mashabiki wake watarajie mambo makubwa zaidi kutoka kwake.
-
Blogger Comment
-
Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment