Maua Sama ni mmoja kati ya wasanii wa kike wa hapa bongo wenye kipaji kikubwa cha kuimba na sauti nzuri aliyobarikiwa.
Baada ya kukaa kimmya kwa kipindi kirefu na kuachia baadhi ya nyimbo na kushindwa kufanya vizuri kama wimbo uliomtambulisha 'So Crazy 'sasa ameachia video ya wimbo wake wa 'This Love' aliomshirikisha Ben Pol.
Bonyeza hapa chini kuangalia video hii
0 comments :
Post a Comment