MO MUSIC BAADA YA KUFUKUZA 'BASI NENDA' SASA AMETUMA UJUMBE HUU 'NITAZOEA'
Aliweza kupata fans kibao kupitia ngoma yake ya kwanza aliyoipa jina la 'Basi Nenda' ni kweli ilikuwa ni kama
wimbo wa Taifa ila baada ya hapo akapotea kwa kuwa kimya kwa kipindi kirefu ila kwa sasa amerudi tena kwa kuachii wimbo huu 'Nitazoea'.
Bonyeza hapa chini kwa kusikiliza na kudownload wimbo huu
0 comments :
Post a Comment