News
Loading...

NAY LEE AMEAMUA KUCHUKUA NAFASI YA SOPHIA BAADA YA KUUTOLEA REMIX WIMBO HUO

Msanii wa kike kutoka Bongo Nay Lee na yeye ametoa remix ya wimbo wa Sophia ambao Original yake ulifanywa na Ben Pol.

Kiukweli wimbo huu haujawavutia mashabiki wa mziki tu kwani hata wasanii pia wamevutiwa na wimbo huu na mpaka sasa umeshafanyiwa remix tatu. 











                                  Bonyeza hapo chini kuusikiliza wimbo huu

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment