Ile collabo iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na watu wengi kuwasikia P-square kutoka Nigeria na Diamond Platinumz kutokea Tz wakifanya yao kwenye ngoma moja.
Diamond pamoja na P-square wameweza ku-share picha hii kwa pamoja huku Diamond akiandika maneno haya 'Tafadhali Mkiwa Tayari naomba mnambie niiachie.... DIAMOND ft P-SQUARE
( please lemmie know when you guys ready so that i can drop it... DIAMOND ft P-SQUARE)'.
Baada ya diamond kuandika hayo naye Peter wa P-Square ali-post picha hiyo na kuandika "My african people, you asked for it and it's coming to you soon" Paul hakutaka kupitwa na hilo na yeye akaandika "Hmmmmm ..........something is cooking."
0 comments :
Post a Comment