Aliyekuwa Miss Tanzania, Malkia Sitti Abass Mtemvu amezindua rasmi kitabu chake kinachoitwa Chozi la Sitti, Sitti foundation, na Tv show yake jana kwenye ukumbiwa Mlimani City,
Pia Malkia huyo amepanga kwenda kukiztangaza kitabu hicho kwenye nchi ya Ivory Cost.
Katika sherehe hizo zilihudhuriwa na wageni mbalimbali wa kutoka serikalini, marafiki pamoja na watu kibao maarufu hapa Tz.
Katika sherehe hizo zilipambwa na burudani ya muziki kutoka kwa Yamoto Band.
Mama Sitti akiwa kwenye meza moja na wageni waliohudhuria kwenye sherehe hizo
Jokate akiwa kwenye Red Carpet na wageni waliohudhuria shrehe za Sitti
Mzee Abass Mtemvu, Sitti wakiwa katika picha ya pamoja na Yamoto Band
0 comments :
Post a Comment