News
Loading...

MADRID YAMTIMUA RASMI ANCELOTTI

 
Real Madrid imevunja mkataba na kocha wake Carlo Ancelotti baada ya kuinoa kwa miaka miwili.
Katika msimu wake wa kwanza Bernabeu, Ancelotti alishinda ligi ya mabingwa, Copa del Rey,  Uefa Super Cup na kombe la klabu bingwa  ya FIFA duniani.
Ancelotti ameshindwa kushinda medali msimu huu na kumaliza pointi mbili nyuma ya mabingwa FC Barcelona.
Kocha wa Napoli, Rafael Benitez anapewa nafasi kubwa ya kuchukua mikoba ya Ancelotti.
Rais wa Real Madrid, Florentino Perez amethibitisha kufukuzwa kwa Carlo na anatarajia kutangaza mrithi wake juma lijalo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment