Msanii wa kike anayekuja vizuri kwenye mziki wa bongo fleva Queen Esthon aka Lady Queen ambaye ametamba na wimbo wake wa 'Hakunaga Tena' na wimbo mwingine ambao unafanya vizuri kwa sasa 'Michepuko' ambao ameshirikiana na Asia.
Lady Queen ameshamaliza ku-shoot video yake ya Hakunaga Tena ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wake.
Angalia hapa behind the scene ya video hiyo.
-
Blogger Comment
-
Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment