Msanii Richard Shauri aka Rich One ambaye baada ya kutoka kundi la Wanaume halisi lililokuwa linaongozwa na Juma nature na kuamua kufanya mziki kama Solo artist lakini alikaa kimya kwa muda bila ya kutoa ngoma mpya, Amekuja upya kwa kuachia wimbo wake mpya 'Ukiona' aliowashirikisha Juma Nature na Inspector Horoon.
Bonyeza hapa chini kuusikiliza wimbo huu:
-
Blogger Comment
-
Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment