Rapa kutoka Nigeria Raoul John Njeng-Njeng aka Skales anayefahamika kwa
wimbo mkubwa “Shake Body”ataitingishaNairobi, Kenyakwa kutambulisha
album yake mpya nchini humo. Album inaitwa ‘Man of the Year’ album’.
Show inafanyika June 6 mjini Nairobi.
Skales amefanya collabo na wasanii kamaBanky W., eLDee, Jeremiah Gyang
na Knighthouse. Nyimbo zilizopo kwenye album hii ni pamoja na“Mukulu”,
“Keresimesi”, “Komole”, “My Baby”, “Take Care of Me” na “Denge
Pose”.
Skales sasa anarecord label yake ya OHK Music.
0 comments :
Post a Comment