Mtoto wa marehemu Whitney Houston ambae alikua gwiji wa muziki wa R&B BOBBI KRISTINA, amefariki dunia baada ya kupoteza fahamu kwa muda mrefu tangu alipokutwa taaban kwenye bafu lake na pindi alipofikishwa hospitali na kukutwa na matatizo kwenye ubongo.
Bobbi amekufa akiwa na umri wa miaka 22 huku akivutiwa kuwa mwigizaji na muimbaji mahiri na mwenye ubora wa aina yake. Msemaji wa familia Kristen Foster amesema Bobbi amefariki akiwa amezungukwa na familia yake.... Bobbi ambaye alikuwa amepoteza fahamu tangu akutwe ameanguka kwenye bafu lake mnamo tarhe 31january mwaka huu ...
-
Blogger Comment
-
Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment