News
Loading...

HUYU NDIYE MTU ALITEVUNJA REKODI YA OBAMA HUKO TWITTER

Rekodi ya kupata followers wengi tweeter ndani ya muda mfupi ilikuwa ikishikiliwa na Rais Barack Obama kwasababu mara tu baada ya kufungua akaunti yake binafsi ya tweeter mwezi uliopita.
 Caitlyn Jenner ambaye kabla ya kujibadili jinsia na kuwa mwanamke kamili kwa kila kitu alikuwa anajulikana kwa jina la Bruce Jenner ambaye ni baba wa kambo wa Kim Kardashian, ameingia kwenye rekodi ya dunia kwa kupata followers zaidi ya million moja ndani ya saa 4 tu.


Hali ipo hivyo na yawezekana ni mwanzo mzuri kibiashara katika uamuzi aliouchukua lakini si jambo la kushabikia hasa kwa tamaduni zetu za kiafrika tuwaache wafanye yanayowahusu nasi tufanye yanayotuhusu.
  Caitlyn Jenner akiwa kwenye gari ni moja ya picha zake zinazosumbua kwenye mitandao kibao duniani.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment