News
Loading...

SHILOLE YUPO TAYARI KUMZALIA NUH MZIWANDA?..

Msanii wa muziki nchini Tanzania Nuh Mziwanda, baada ya kuvuka kiunzi cha skendo ya kumpachika mimba binti na kumkana hadharani, jambo ambapo lilipelekea msukosuko katika penzi lake na mpenzi wake Shilole, hatimaye atamka hadharani mipango yake ya kuazaa na Shilole.
 
Akihojiwa  na eNews  ya  EATV  Mziwanda amesema kuwa yeye na Shilole, wanapenda sana kupata mtoto wao, ila anafahamu kuwa hiyo ni mipango ya Mungu na wakati wowote kutoka sasa ikitokea baraka hiyo watafurahi.
 
Amedai kuwa Mungu akiwajalia kuwa na mtoto furaha yao itaongezeka kwa kuwa kila kitu Mungu ndio mpangaji na kusema kuwa bado yupo kwenye mipango ya ndoa baada ya kutambulishana kwa wazazi.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment