Msanii wa kike nchini Kenya ambaye anafanya vizuri kwenye muziki wa burudani maarufu kwa jina la Victoria Kimani aliyewahi kutamba na ngoma ya ‘Prokoto’ aliyowashirikisha mastaa kutoka bongo Diamond Platnumz pamoja na Ommy Dimpoz. Kimani ameachia video yake mpya ya wimbo wake wa 'Two of Dem'. Chukua time hii kuitazama hapa:
-
Blogger Comment
-
Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment