Toka mwanzoni mwa wiki hii Diamond Platnumz na crew yake wamekuwa waki-tease vitu kwa
mafumbo kuashiria kuna kitu kikubwa kinakuja.
Kupitia Instagram Diamond ameshare fomu inayoonesha kuwa ameituma video ya
collabo yake na Mr. Flavour iitwayo Nana kwenye kituo cha Runinga cha
kimataifa BET International. Katika fomu hiyo inaonesha kuwa video hiyo iliyoongozwa
na Godfather inatarajiwa kutoa May 29, 2015.
Lakini pamoja na kutease fomu hiyo bado uongozi wake unasema kuwa Ijumaa hii ndio
wataweka wazi ni wimbo gani anaotaka kuachia, lakini ni collabo ya kimataifa.
Vitu vyote tutasema kwa wananchi wetu Ijumaa mashabiki wa Diamond
mashabiki wa WCB wasubirie mpaka Ijumaa tutaanza rasmi kusema kama ni wimbo ambao
tuna release Diamond featuring Flavour au Featuring P-Square au msanii wa
Marekani.
Alisema Babu Tale kupitia Sammisago.com.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments :
Post a Comment