Nay Wamitegoameachia nyimbo yake mpya 'Mapenzi au Pesa' huku akimshirikisha Diamond Platnumz aka Dangote kwenye wimbo huo.
Hii ni mara yapili kwa
wasanii hawa wawili kufanya collabo hiyo kabla ya hapo walishirikiana
kufanya wimbo wa 'Mziki Gani' na kufanya vizuri huku nyimbo zote hizo
zikifanywa na Producer Mr. T Touch kwenye studio za New Free Nation.
Bonyeza hapa kusikiliza wimbo huu
0 comments :
Post a Comment