Juma Nature aka Kiroboto amefanya remix ya wimbo wake wa 'Inaniuma Sana' ambao ulifanya vizuri miaka ya nyuma na kujipatia show kibao ndani na nje ya nchi. Katika wimbo huo Nature amemshirikisha Msaga Sumu na producer aliyefanya remix hiyo ni Mazuu kutoka Studio ya Mazuu Record.
Bonyeza hapa chini kuusikiliza wimbo huu:
Bonyeza hapa chini kuusikiliza wimbo huu:
0 comments :
Post a Comment