Baada ya siku kadhaa Diamond Platnumz kuachia video ya wimbo wake mpya 'Nana' aliomshirikisha mr Flavour kutoka nchini Nigeria huku mastaa kadhaa wa mziki kutoka Africa wakionekana kwenye video hiyo mmoja wao alikuwa ni Iyanya ambaye ameshafanya collabo mbili na Diamond mpaka sasa.
Naye Iyanya ameachia video yake mpya ya wimbo Nakupenda ambao amemshirikisha Diamond Platnumz huku director wa video hiyo akiwa ni Patrick Elis.
Bonyeza hapa chini kuangalia video hii:
0 comments :
Post a Comment