Kundi moja la wasanii wa muziki hapa Tz maarufu kwa jina la ‘Makomando’ ambao wanafanya vizuri kwenye muziki wa Bongo fleva, kwa sasa wapo katika mchakato wa kuandaa ngoma mpya katika studio ya Uprise Music chini ya mikono ya Producer ‘Dupy’ though kwamba ngoma hiyo bado haijajulikana jina lakini ameshirikishwa rapper M Rap stay tuned kwa habari njema.
M Rap
-
Blogger Comment
-
Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment