Staa wa mziki wa Rnb hapa Tanzania Jux ameingia kwenye headlines baada wimbo wake mpya aliomshirikisha Joh Makini kupigwa kwenye vituo vikubwa vya TV duniani.
Wimbo huo mpya wa Jux ni “Looking for You” Feat. Joh Makini kwa mara ya kwanza imeanzia kuruka kwenye Kituo cha MTV Base.
Video hiyo mpya ya Jux imefanywa na director Justin Compus kutoka South Africa aliyetengeneza video ya 'Nusu Nusu', 'Game', na 'Nobody But Me' chini ya ya Kampuni ya Gorilla Films.
Bonyeza hapa chini kuangalia video hii:
Bonyeza hapa chini kuangalia video hii:
0 comments :
Post a Comment