Ripota wa kituo cha WDBJ7, Alison Parker, 24, na cameraman wake Adam Ward, 27 wamepigwa risasi na kuuawawakati wakiwa kazini wanafanya interview.
Pia imesemekana kuwa mtu aliyewapiga risasi ni Vester Lee Flanagan ambaye pia alikuwa ni mwajiriwa wa zamani wa kituo hiko cha Tv alifanya tukio hilo na kupost video hiyo yatukio la mauaji alilolifanya.
Lakini pia kituo hiko cha WDBJ7 kimesema kuwa mtu aliyekuwa anafanyiwa mahojiano na Alison Parker anaitwa Vick Gardner yeye alinusurika ufa kwenye tukio hilo lakini amepelekwa hospitali kwa uangalizi zaidi wa afya.
Tazama hapa chini video ya tukio zima lilivyotokea.
-
Blogger Comment
-
Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment