Ni wanamichezo wachache wenye mafanikio makubwa ambao wanaheshimu na kuwakubali wanamichezo wadogo hasa wanaotoka nchi zilizokuwa chini kiuchumi. Mchezaji wa timu ya Manchester City kutoka nchini Ivory Cost amewapongeza wachezaji wa Kenya kwa kuchukua Medali kwenye michuano ya Olimpic inayoendelea huko Beijing.
Pia kwenye post yake hiyo aliyoipost kupitia mtandao wake wa twitter ameipongeza Kenya kwa kupenda michezo na support yao.
0 comments :
Post a Comment